JamiiKimataifa Waziri Mkuu Senegal aapa kuongeza adhabu dhidi ya LGBTQ News RoomFebruary 25, 20260 Waziri mkuu wa Senegal Ousmane Sonko amezindua sheria ambayo itaongeza maradufu adhabu ya juu zaidi kwa makosa ya mahusiano ya…
JamiiKimataifa Takriban watu milioni 6.5 wanakabiliwa na njaa kali kutokana na ukame ulioikumba Somalia News RoomFebruary 25, 2026February 25, 20260 Serikali ya Somalia na Umoja wa Mataifa zimetangaza kuwa wananchi wa Somalia wasiopungua milioni 6.5 wanakabiliwa na njaa kali kutokana…
DiplomasiaJamii Zaidi ya Wakenya 600 wakwama Cambodia, waomba kurejeshwa News RoomFebruary 24, 2026February 25, 20260 Zaidi ya Wakenya 600 waliodai kushawishiwa kwenda Cambodia kwa ahadi za ajira wamefikisha suala hilo katika Mahakama Kuu ya Kenya,…
DiplomasiaJamii Wapalestina wanakoseshwa kufunga na kufungua Saumu kwa wakati kwenye jela za Israel News RoomFebruary 24, 20260 Tume moja ya Palestina inayoshughulikia masuala ya Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala wa kizayuni wa Israel imezishutumu mamlaka za…
JamiiKitaifa Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki News RoomFebruary 23, 20260 Katika mfumo huu usio sawa, makoloni yakawa wasambazaji wa malighafi na masoko ya watumiaji, na mifumo ya wenyeji ilibadilishwa na…
AfyaJamii WFP kusimamisha huduma ya msaada wa chakula nchini Somalia News RoomFebruary 22, 20260 Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa, huenda likasitisha msaada na harakati zake za kibinadamu nchini Somalia ifikapo…
Biashara & UchumiJamii “Akili Mnemba izingatie ujumuishaji, uwajibikaji na viwango vya kimataifa” Türk News RoomFebruary 22, 2026February 23, 20260 Türk amesema hayo katika mahojiano kando ya Mkutano wa Athari za Akili Mnemba ambao umemalizika jijini New Delhi, nchini India Jumamosi…
DiplomasiaJamii Vita vya Sudan: Marekani yawawekea vikwazo viongozi wa RSF kutokana na ukatili wa Darfur News RoomFebruary 21, 2026February 21, 20260 Marekani iliwawekea vikwazo viongozi watatu waandamizi wa Kikosi cha Msaada wa Haraka cha Sudan (RSF) wiki hii kwa tuhuma za…
DiplomasiaJamii Israel ina ‘haki ya Kibiblia’ kuchukua eneo lote la Mashariki ya Kati, anadai mjumbe wa Marekani News RoomFebruary 21, 2026February 23, 20260 Katika mahojiano ya hali ya juu ambayo yamefichua mpasuko mkubwa ndani ya muungano wa chama cha Republican cha Marekani, Balozi…
DiplomasiaJamii OCHA: Takribani raia 50 wameuawa katika mapigano mashariki mwa DRC News RoomFebruary 19, 20260 Takribani raia 50 wameuawa wakati wa mapigano yaliyozuka mwezi Januari kati ya vikosi vinavyoiunga mkono serikali na waasi wenye silaha…
JamiiMakala Bara la Afrika linavyopambana na ustawi wa hifadhi ya jamii News RoomFebruary 19, 20260 Mchango wa sekta ya hifadhi ya jamii barani Afrika, katika kipindi cha miaka 10 iliyopita, umeendelea kukua maradufu. Kulingana na…
DiplomasiaJamii Vatican, Mexico nazo pia zaukataa uanachama katika ‘Bodi ya Amani’ ya Trump News RoomFebruary 18, 2026February 21, 20260 Vatican haitashiriki katika mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa iitwayo “Bodi ya Amani”. Hayo yameelezwa na afisa mkuu…